Saturday, September 05, 2009

TEHAMA team


Hawa ni watafiti wa Teknologia ya Habari na Mawasiliano(TEHAMA) wakiwa na wanafunzi shule ya msingi Mwenge iliyopo manispaa ya Morogoro.
Timu hii inaundwa na Wahadhiri kutoka Mzumbe university na SUA pamoja na walimu kutoka shule ya msingi Msamvu B.

No comments: